ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, October 5, 2013

NDOTO ZA ULAYA ZAISHIA BAHARINI

Wengi wa wahamiaji ni wa kutoka Somalia na Erritrea. Wasomali hawana amani nchini mwao wakati nchini Eritrea hali ya kibinadamu sio nzuri sana
Wahamiaji hawa kwa sababu ya kutokuwa na stakabadhi za usafiri, hulazimika kufanya safari hatari za baharini kwani kwao bora wafike Ulaya
Zaidi ya watu miamoja kumi na watu wamepatikana wakiwa wamekufa maji na wengine miambili bado hawajulikani waliko
Baadhi ya waliookolewa walipelekwa katika vituo vya afya kupata matibabu

No comments: