OMMY DIMPOZ AKIWA NDANI YA EMIRATE BUSINESS CLASS AKIELEKEA TANZANIA
Mwanamuziki wa Bongo Flava aliyemaliza Tour yake ya kwanza nchini marekani Ommy Dimpoz ameondoka leo kuelekea Tanzania ambapo ana show inamsubiri kesho usiku

Dimpoz akiwa Na USA Tour Manager wake "DMK" wakiwa Airport huku akiwa amepozi na Kofia yake ya POZ KWA POZ "PKP" Kofia hizo zinapatikana kwa special orders only.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
No comments:
Post a Comment