ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, October 5, 2013

Watu wanne wauawa kufuatia rabsha Mombasa

3 comments:

Anonymous said...

Inalilahi wa Inailaihi Rajiun.
Kenya wanajipalilia mkaa,
wanayoyafanya yatawarudia.
Kwa damu ya waislam kwao haina thamani.
Malipo yanaanzia hapahapa duniani.

Anonymous said...

Bila shaka mitihani, maumivu na dhulma dhidi ya waislamu ni jambo la kihistoria. Tunasema mitihani ni sunna ya wachamungu. Uzuri ni kwamba historia inaonyesha muda wote wa mateso waliopitia waislamu mwisho wake wamekuwa washindi. Silaha kubwa sana katika vita hii ni kuwa na subra na sio kupetuka mipaka kwani ni wazi tukivuka mipaka aliyotuwekea Mungu kama waislamu adhabu yetu itakuwa kubwa hapahapa duniani na kesho akhera. Wenzetu wameshakata tamaa na maisha ya akhera na wanafanya kila liwezekanalo kuhakikisha nasi tunakuwa kama wao. Dunia sasa imepanga ajenda kali dhidi ya uislamu kwa mgongo wa ugaidi. Ni vita nzito sana kwetu waislamu bila uvumilivu tutajikuta tunaingia katika mtego wao. Matukio ya kuudhi na kutia hasira kama haya yalishatokea tena kwa kiwango kisicho na mfano zama za mtume s.a.w ila wao walifanya subra na mwisho ushindi ukawa upande wao. Tuendelee na subra nusra ya Allah haipo mbali kwa waumini. Inshallah.

Anonymous said...

Kanisa na Serkali ni kitu kimoja.