Advertisements

Thursday, November 28, 2013

DIAMOND "PICHA ZA ZOEZI LA KUWAFANYIA INTERVIEW WALE WALIOTUMA MAOMBI YA KAZI"


Siku ya jana tulifanya zoezi la kuwafanyia interview
baadhi ya watu waliotuma maombi yao kwa
mujibu wa ,tangazo la kazi nilillolitoa
juzi,mwitikio
wa watu ulikuwa mkubwa,watu waliotuma
email zao pamoja simu,kiasi ilituwia vigumu 
kuwataka wote waje kwenye interview,ilitubidi
tuchague baadhi ya watu ambao tulihisi wanaweza
kukidhi sifa tulizozihitaji ingawa nao pia tulipata
changamoto ya wengi wao kuja pasipo kuzingatia maelekezo 
na maagizo ya tangazo lilivyotaka,hivyo jana 
nikishilikiana na wataalamu wa hizo sekta tulisaili
na mwisho wa siku tutachukua wale wenye viwango
tunavyovihitaji na kuungana na team ya WCB-WASAFI,.....
Ahsanteni sana.

No comments: