Taarifa zinasema maelfu ya wahamiaji kutoka Tanzania wamekwama mipakani huku hali ya wasiwasi juu ya majaliwa yao ikiibuka. Hii inafuatia zoezi la serikali ya Tanzania kuwaondoa wahamiaji hao katika zoezi lililotangazwa na kutekelezwa na serikali hiyo. Hivi karibuni.
Shirika la kimataifa la uhamiaji IOM limejikita kuwasaidia wakimbizi hao kama msemaji wa shirika la uhamiaji IOM Jumbe Omari Jumbe aanavyofafanua alipohojiwa na Joseph Msami wa idhaa hii. Kusikiliza bonyeza hapa
No comments:
Post a Comment