ANGALIA LIVE NEWS

Friday, November 15, 2013

RATIBA YA SHUGHULI YA KUAGA MWILI WA DKT. SENGONDO MVUNGI KESHO


MUDA
TUKIO

LEO, NOVEMBA 15, 2013 – UWANJA WA NDEGE WA MWALIMU JK
NYERERE


Saa 12:50 jioni
Kuwasili kwa
mwili wa Marehemu – Uwanja wa Ndege wa Mwalimu JKN


KESHO, NOVEMBA 16, 2013 – VIWANJA VYA KARIMJEE

Saa 2:00 – 3:30
asubuhi
Kuwasili kwa
Wageni, Wananchi na Waombolezaji

Saa 3:30 asubuhi
Kuwasili Mwili
wa Marehemu

Saa 4:00 – 5:45 asubuhi
Ibada ya Misa
Takatifu, Viwanja vya Karimjee

Saa 5:45 – 6:55
mchana
Salaam za
Rambirambi na Neno la Shukurani


Saa 6:55 – 8:40
Mchana
Kuaga Mwili wa
Marehemu


Saa 9:00 Alasiri
Msafara kupeleka
mwili wa marehemu Kibamba Msakuzi


KESHO KUTWA, NOVEMBA 17, 2013 – NYUMBANI KWA MAREHEMU
- KIBAMBA, MSAKUZI

Saa 2:30 – 4:30
asubuhi
Ibada ya Misa
nyumbani kwa marehemu

Saa 5:00 asubuhi
Kuanza safari ya
kwenda Chanjale, Kisangara Juu, Mwanga, Kilimanjaro

No comments: