ANGALIA LIVE NEWS
Thursday, November 14, 2013
Wahamiaji haramu 16 wakamatwa Makongo juu.
Watu 16 wanaosadikika kuwa wahamiaji haramu kutoka nchini Ethiopia, waliokua katika harakati za kusafirishwa kwenda Afrika kusini wametiwa mbaroni na jeshi la polisi kanda maalum ya Dar-es-Salaam eneo la Makongo juu manispaa ya Kinondoni
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment