ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, January 22, 2014

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWASILI ZANZIBAR KUZINDUWA KAMPENI JIMBO LA KIEMBESAMAKI LEO

 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Unguja, Borafya Silima, alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Abeid Amani Karume mjini Zanzibar leo  kwa ajili ya kuzindua kampeni za uchaguzi mdogo wa Uwakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki Zanzibar utakaofanyika leo.
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Katibu  wa CCM Mkoa wa Mjini Unguja, Alhajj Rajab Kundiya, baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar leo  kwa ajili ya kuzindua kampeni za uchaguzi mdogo wa Uwakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki Zanzibar   utakaofanyika leo.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mgombea Uwakilishi Jimbo la KiembeSamaki CCM Mahmoud Thabit Kombo, alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar leo kwa ajili ya kuzindua kampeni za uchaguzi mdogo utakaofanyika leo. Picha na OMR

No comments: