Msanii wa mziki wa radha Selemani Jabir 'Msagasumu' akitoa burudani katika ukumbi wa shimbikati kiluvya maduka mawili kabla ya mpambano wa masumbwi uliofanyika katika ukumbi huo jana
MABONDIA WAKIONESHABA UBABE WAKATI WA MPAMBANO ULIOFANYIKA KLUVYA MADUKANI KATIKA UKUMBI WA SHIMBIKATI
Msanii wa mziki wa radha Selemani Jabir 'Msagasumu' akitoa burudani katika ukumbi wa shimbikati kiluvya maduka mawili kabla ya mpambano wa masumbwi uliofanyika katika ukumbi huo jana kulia ni mmoja ya nmashabiki wake
Shabiki ambaye akuweza kujizuia baada ya kuona wasanii wa kanga moja wakifanya vitu vyao na kuamua kwenda kutunza kwa stail ya aina yake
Shabiki ambaye akuweza kujizuia baada ya kuona wasanii wa kanga moja wakifanya vitu vyao na kuamua kwenda kutunza kwa stail ya aina yake kama anavyo onekana katika picha
SHABIKI AKIMTUNZA MNERNGUAJI WA KANGA MOJA
MNENGUAJI WA KUNDI LA KANGA MOJA AKICHEZA KWA STAIL YA KIPEKEE BAADA YA KUAMUA KUCHEZA NA CHUPA
KANGA MOJA WAKIFANYA VITU VYAO
MASHABIKI WAKIMSHANGILIA BONDIA WAO ALIYESHINDA
KAZI YA KANGA MOJA IKIENDELEA KULINDIMA KATIKA UKUMBI WA SHIMBI KATI KABLA MPAMBANO WA MASUMBWI
KIKAZI ZAIDI KANGA MOJA
MPAMBANO WA MASUMBWI UKIENDELEA
1 comment:
jamani tunavuka mpaka!
Post a Comment