ANGALIA LIVE NEWS
Monday, January 20, 2014
Video ya Ajali ya gari Singida.iliyouwa watu 13 papo hapo
Watu kumi na tatu wakiwemo watatu wa familia moja wamekufa papo hapo baada ya gari aina ya noah waliokuwa wakisafiria kugongwa na lori katika kijiji cha Isuna wilaya ya ikungi mkoani Singida.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment