ANGALIA LIVE NEWS

Sunday, January 5, 2014

WATANZANIA DMV WAJUMUIKA USIKU WA KUAMKIA LEO NYUMBANI KWA MAREHEMU

Msiba wa Zainab 009Mfiwa kushoto Bw.Dula ambaye ni mume wa marehemu akiwa na Terry katika msiba huo Jumamosi usiku huko Bladensburg Maryland pamoja na Tery Watanzania wa DMV waliungana pamoja na familia usiku huohuo wa jana mara baada ya kupata taarifa ya msiba. Msiba upo nyumbani kwa marehemu 5030 57 th ave Apt 303 Bladensburg md 20710Msiba wa Zainab 007Mdogo wa marehemu Ngalu Buzohera (wa pili kulia)akiwa amezungukwa na jamaa, ndugu na marafiki wakimfariji.walipojumuika jioni mara baada ya kupata taarifa ya msiba wa mpendwa wao Zainab Buzohera aliyefariki jana jioni Doctor's Community Hospital iliyopo Lanham, Maryland,Msiba wa Zainab 012 
Mume wa marehemu Dullah (tshirt nyekundu) akifajijiwa na Watanzania DMV waliofika nyumbani kwao 5030 57 th ave Apt 303 Bladensburg md 20710  usiku huo mara tu baada ya kupata taarifa ya msiba.
Msiba wa Zainab 015
Ndugu, jamaa na marafiki wakisoma dua nyumbani kwa marehemu Bladensburg, Maryland
Msiba wa Zainab 016
 Watanzania DMV wakijumuika pamoja nyumbani kwa marehemu kuwafariji ndugu,na jamaa wa marehemu mara tu walipopata taarifa ya msiba wa kufiwa na mpendwa wao.
Msiba wa Zainab 020
Watanzania wa DMV wakijumuika pamoja na wafiwa nyumbani kwa marehemu.
Msiba wa Zainab 021 
Edward Taji akijumuika na wafiwa nyumbani kwao Bladensburg Maryland.
EMsiba wa Zainab 023
Alfan Limmo (kulia) pamoja Jabir Jongo wakiwa kwenye msiba wa mpendwa wetu Zainab Buzohera.

1 comment:

Anonymous said...

nawapenda sana watu wa maryland wako poa tena wanaupendo na wenzao ni mfano wa watanzania wa kuigwa mungu akubarikini sana kwenye misiba wako wote kwenye harusi wote hawana visirani kama state zinginewe. hongereni sana tena sana mungu akubarikini sana.

poleni sana wafiwa wote mungu akupeni moyo wa kustahamili amin

alfan limmo mwanangu bongo imekupenda shavu/mashavu embe dodo mwangu