Miili ya Marehemu ikiwa imetelekezwa katika mlima nyoka
Miili ya Marehemu baada ya kupigwa vibaya
Kiatu vya mmoja wa marehemu aliyeuawa
Hapa ni eneo marehemu walipo jaribu kukimbia
Baadhi ya mashuhuda akiwemo mwenyekiti wa Bajaji wa pili kushoto na watatu mwenye begi mgongoni mwenyekiti wa Bodaboda wakiwa eneo la tukio Mlima Nyoka. Picha na Ezekiel Kamanga
Source: Mbeya yetu Blog

2 comments:
Ndugu zangu watanzania,hii yote inasababishwa na uzembe wa polosi wetu na serikali zinazotawala. Wahusika wa mauaji wanafahamika na hili siyo tukio lakwanza kufanyika. Cha ajabu serikali haiweki sheria nakutilia mkazo wa kuwalinda watuhumiwa. Anayetuhumiwa kutenda kosa bado, anakuwa si mkosaji mpaka hapo upelelezi wakumtia hatiani utakapo kamilika.....sasa inakuwaje hawa watu wanajichukulia sheria mkononi na kupiga picha wakiwa na marungu mapanga na wala polisi wasifanye lolote dhidi yao. Inasikitisha saana. MTANZANIA.
Nakubaliana na wewe kabisa, unawezaje kuvhukuwa hatua na kumuuwa binadamu mwenzako kwa kipigo kama hicho? Jamani human rights iko wapi?
Post a Comment