Bwana Msami alikuwa kivutia kikubwa ukumbuni hapo kwa comedy zake juu ya watu wa viziwani.
Wiki moja baada yaZanzibarkuadhimisha miaka 50 ya mapinduzi, wananchi wa visiwa hivyo wanaoishi mjiniNew York na maeneo ya jirani wameungana na watanzania wote kwa ujumla katika kuadhimisha miaka 50 ya mapinduzi.
Mwandishi wa idhaa hii Joseph Msami alikuwa amiongoni mwa waliohudhuria sherehe hizi na kuandaa ripoti ifuatayo.
Kusikiliza makala hii maalum bonyeza hapa
No comments:
Post a Comment