sasa kila ijumaa moja ya mwezi huwa tuna kitu kinaitwa BBALL KITAA CHINI YA MATAA na ijumaa hii tunatafuta WHO RUNS DSM kwenye swala la kikapu
tutakuwa na game moko kati ya UDSM VS CBE.
game itahappen katika viwanja vya GYMKHANA DAR kuanzia saa 1 usiku....
haina kiingilio.
nyote mnakaribishwa.
nyote mnakaribishwa.

No comments:
Post a Comment