ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, January 11, 2014

YANGA YASHINDA MECHI YAKE YA KWANZA UTURUKI

Mabingwa wa soka wa Tanzania Bara, Yanga leo wamekipiga mechi yao ya kwanza na timu ya daraja la kwanza ya Ankara Seker Spor,

Mechi hiyo iliyochezwa saa 9.00 kwa saa za Tanzania kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Mashindano ya kimataifa wa Yanga, Seif “Magari” Ahmed amesema Timu ya Yanga imeibuka mshindi wa goli 3-0 magoli yaliyifungwa na Didier Kavumbagu dakika 10 , Okwi dakika ya 46 na Kizza dakika ya 61.

Ahmed alisema kuwa wachezaji wamecheza mpira mkubwa katika vipindi vyote viwili Nna kwa ushirikiano kama timu.

No comments: