ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, February 22, 2014

PHOTO'Z DIAMOND PLATNUM AKIWA MWANZA HII LEO



DIAMOND PLATNUM ANASEMA" Ni mwendelezo wa burudani,iliyoasisiwa na kampuni 
ya vinywaji baridi Cocacola,kuwapa fursa wapenzi wa

 kinywaji hicho kupata burudana toka kwa wasanii wawapendao,tulianzia Dasr
na leo ilikuwa ni ndani ya jiji la miamba,Mwanza
 and to be honest,nimeipenda hali ya hewa ya Mwanza.
tazama picha chache baada ya kuwasili,tuliongozana pia na Madee."






1 comment:

Anonymous said...

muuza sembe kila mtu anamjua na wengi tu hawana muziki wala nini