| Kamanda
wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Suleiman Kova akimkabidhi
Askari wa usalama barabarani ,Moses Alphage fedha taslimu Sh. Milioni 2
zilizochangwa na wafanyakazi wa Vodacom Tanzania na wasikilizaji wa
kituo cha Redio Clouds FM kupitia program ya kuhamasisha na kupongeza
utendaji kazi wa askari wa usalam barabarani jijinidar es salaam
iliyonedeshwa na kituo hicho cha Redio. Alphag huongoza magari katika
daraja la Mlalakuwa, Kawe |
No comments:
Post a Comment