Bwana Fue na Bi.Margareth Wameremeta Houston usiku huu
Mwenyekiti wa CHADEMA-Houston Bw.Fue O. Fue jana jumamosi aliiacha rasmi kambi ya Ukapera na kumuoa mwandani wake Bi Margareth katika Harusi ya kukata na shoka iliyofanyika kwenye ukumbi wa Cinco Ranch Golf Club jijini Houston. Pata picha :-
Bwana na Bibi Fue wakifurahia
Maharusi na wasimamizi wao
Waalikwa
Muziki kwa afya
Wasimamizi
Maharusi
Wasimamizi
Furaha ya ndoa
Bwana na Bibi Fue
Cake ya Harusi
Muda wa keki
Pokea Cake hii
Dj.Jimmy akiwa kazini
MC Jimmy Doe aka Teacher
6 comments:
Anonymous
said...
Bibi harusi kafunika mabibi harusi wote wa Houston .she is beauty mkaka ume win lottery
Bibi harusi ni mzuri Jamani kaa.wewe mkaka unabahati .Last name ya bibi harusi ni nani ?sijawahi msikia Houston au ndio waliotulia .Mwanamke Kama Huyu nikimpata Nanunua bunduki aiseee.Kumbe texas kuna Wanawake bomba .Hongera kijana mtunze mama Huyo ,mtoto jicho Dah .
itabidi uwe na ujuzi wa ziada kumtuza mrembo kama huyu, huyu ni classic lady moto wa kuotea mbali usifanye mchezo tunza malkia wako kwa kila ujuzi wako unaoujua na utakaupata
nakutakiyeni ndoa njema na mungu awe kinga yenu daima amen
6 comments:
Bibi harusi kafunika mabibi harusi wote wa Houston .she is beauty mkaka ume win lottery
Love the Bride. So pretty and elegant !
Arusi nzuri sana , Bwana asifiwe ! Mungu awape Maisha mazuri ya Furaha na baraka !
Bibi harusi ni mzuri Jamani kaa.wewe mkaka unabahati .Last name ya bibi harusi ni nani ?sijawahi msikia Houston au ndio waliotulia .Mwanamke Kama Huyu nikimpata Nanunua bunduki aiseee.Kumbe texas kuna Wanawake bomba .Hongera kijana mtunze mama Huyo ,mtoto jicho Dah .
itabidi uwe na ujuzi wa ziada kumtuza mrembo kama huyu, huyu ni classic lady moto wa kuotea mbali usifanye mchezo tunza malkia wako kwa kila ujuzi wako unaoujua na utakaupata
nakutakiyeni ndoa njema na mungu awe kinga yenu daima amen
Harusi imefunika kinoma, bibi harusi mzuri na kapendeza sana.Hongereni maarusi
Hongera Brother Fue, lakini ungemwalike bwana Slaa or Mbowe.
Post a Comment