Wewe Anon hapo juu hako kachupi kakatwe ili iweje? huu ndiyo uhuru wa kila mmoja kujiamulia mambo yake. Unafikiri huyo waziri mkuu na hao wengine hawajaona? Huyo mama kaamua kuvaa anavyopenda siyo wewe unavyotaka...ebu kamshike tu kama hujala mvua miaka 40? Unafikiri hii ni bongo mnavyofikiria ku-enforce dressing code mnayopenda?
Acheni vita dhidi ya wanawake,bahati mbaya koti fupi akajisaha akainama.things happen jaribuni kutazama mambo in positive way.by the way she is beautiful
Hiyo picha ni photoshop, Picha yake halisi ipo, hata hivyo iliongelewa kwenye vyombo vya habari Italy.unaweza kugoogle kwenye image na kujionea mwenyewe.
5 comments:
NAFIKIRI HAKO KACHUPI KANATKAIWA KAKATWE KAMBA..ABAKI UCHI KABISA
Nadhani hii picha imekuwa photoshopped, angalia asiku sue
Wewe Anon hapo juu hako kachupi kakatwe ili iweje? huu ndiyo uhuru wa kila mmoja kujiamulia mambo yake. Unafikiri huyo waziri mkuu na hao wengine hawajaona? Huyo mama kaamua kuvaa anavyopenda siyo wewe unavyotaka...ebu kamshike tu kama hujala mvua miaka 40? Unafikiri hii ni bongo mnavyofikiria ku-enforce dressing code mnayopenda?
Acheni vita dhidi ya wanawake,bahati mbaya koti fupi akajisaha akainama.things happen jaribuni kutazama mambo in positive way.by the way she is beautiful
Hiyo picha ni photoshop, Picha yake halisi ipo, hata hivyo iliongelewa kwenye vyombo vya habari Italy.unaweza kugoogle kwenye image na kujionea mwenyewe.
Post a Comment