MASHARTI YA KUPIGA KURA:
(a) Uwe mwanachama wa CCM
(b) Uwe na kadi ya chama siku ya uchaguzi
(c) Uwe mwanachama hai
(d)Mwisho wa kurudisha form ni APRIL, 12 2014.
Kukiwa na ya ziada tutawajulisheni. Kwa maswali, tafadhali wasiliana na wanakamati wafuatao:
Jabir Jongo:240-604-0574
Fadhil Londa:(301) 377-4920
Mwinyikheri Mkwavi1 (240) 603-3274:
Mzee Joel:(240) 432-7621
Tangazo Limetolewa na Kamati Ya Uchaguzi.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!!!!!
Jbjongo
No comments:
Post a Comment