Wanajeshi wa jeshi la wananchi JWTZ (picha kutoka maktaba)
hali hiyo ya mashaka imewaacha wananchi kuishi kwa mashaka bila ya kujua hatma ya masiha yao. Wenyeji wa Kimbiji ambao wanamiliki maeneo yao na ni wakazi wa asili maeneo hayo wamekuwa wakipata usumbufu na vitisho vya wanajeshi wenye nia ya kuwanyang'anya Ardhi kwa kutumia kufia za jeshi.
Vijimambo ilifuatilia swala hili kwa kuongea na mwenyekiti na yeye kuthibisha ni kweli wanasumbuliwa na kikosi hicho Msikilize hapo chini
No comments:
Post a Comment