ANGALIA LIVE NEWS

Sunday, March 16, 2014

YANGA WAPATA AJALI MORO

Wachezaji na viongozi wa tinu ya Yanga, wamepata ajali maeneo ya Mikese nje ya manispaa ya Morogoro kufuatia Bas walilokuwa wakisafilia kupinduka. Katika ajali hiyo hakuna majeruhi wala mtu kufariki. Chanzo cha ajali ni mabas yaendayo bara kuziba njia

No comments: