MWANAMUZIKI JHIKOMAN AMESAHATUA FINLAND
KUANZA MAKAMUZI YA UGHAIBUNI !
FINLAND,NORWAY, GERMANY KUPATA BURUDANI KAMILI
Mwanamuziki maarufu wa Reggae Afrika mashariki Jhikoman na mzuka wake wa Afrikabisa Band kutoka mjini Bagamoyo, Tanzania ameshatua nchini Finland kwa ziara ya miezi mitatu barani ulaya.Mwanamuziki huyo alutua katika uwanja wa ndege wa HELISINK mapema 24. April 2014,
ambako anataraijia kufunika katika maonyesho makubwa ya kimataifa katika nchi za Ujerumani,Finland,Norway na kwingineko
No comments:
Post a Comment