ANGALIA LIVE NEWS

Friday, April 25, 2014

MHE. MWIGULU NCHEMBA AWASILI WASHINGTON DC

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula (kulia)akiwaongoza maafisa wa Ubalozi  Paul Mwafongo kushoto na Suleiman Saleh wa pili kutoka kushoto kumpokea Naibu Waziri wa fedha Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba alipowasili leo katika uwanja wa kimataifa wa Dulles kwa ajili ya kuungana na Watanzania waishio nchini Marekani katika maadhimisho ya miaka 50 ya sherehe ya muungano.

No comments: