Jeshi la Polisi Tanzania limetangaza
zawadi ya Tsh.Milion 10 kwa mtu atakayewezesha kupatikana kwa wahusika
walioshiriki mlipuko wa bomu lililolipuka Arusha,Bomu hilo lililipuka
mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye bar ya Arusha Night Park ambalo
lilisababisha majeruhi kadhaa.
Mkurugenzi wa makosa ya jinai Tanzania Dci Isaya Mgula amesema uchunguzi wa awali uliofanywa na wataalam wa mabomu kutoka Jwtz na Jeshi la Polisi Tanzania umebaini bomu hilo limetengenezwa kienyeji mbali na hilo lililolipuka Jeshi la Polisi pia lilibaini bomu lingine lililokuwa kwenye mkoba uliokua umeeegeshwa pembeni ya kiti kwenye bar jirani ya Washington.
Mkurugenzi wa makosa ya jinai Tanzania Dci Isaya Mgula amesema uchunguzi wa awali uliofanywa na wataalam wa mabomu kutoka Jwtz na Jeshi la Polisi Tanzania umebaini bomu hilo limetengenezwa kienyeji mbali na hilo lililolipuka Jeshi la Polisi pia lilibaini bomu lingine lililokuwa kwenye mkoba uliokua umeeegeshwa pembeni ya kiti kwenye bar jirani ya Washington.
1 comment:
Sasa kuna haja gani ya kuwepo na hao wapelelezi kama hawa hawa wananchi wanaowasingizia kesi na hata kuwapiga mabomu wawasaidie.!!! Wao wanalipwa na kuvimba matumbo yao kwa kulipwa mshahara bila kufanya kazi na kwa tukio kama hili wao ndio wanatakiwa wawajibike na kuwakamata wale wote waliohusika ndani ya masaa 48 tu...
Mdau
-PAKAJEUSI
Post a Comment