Wanamichezo wa Ofisi ya Waziri Mkuu wanaoshiriki katika Mashindano ya Mei Mosi Mjini Morogoro, wakipita mbele ya mgeni Rasmi, Mkuu wa mkoa wa Morogoro Mh. Joel Bendera (hayupo pichani) wakati wa Ufunguzi wa mashindano hayo jana. Washiriki wa Mashindano hayo ni Wizara, Idara na Taasisi za Serikali zinazojitegemea.Kikosi kabambe cha Mpira wa miguu cha Ofisi ya Waziri Mkuu inayoshiriki katika Mashindano ya Mei mosi yanayoendelea mjini Morogoro.
No comments:
Post a Comment