KWA MWAKA WA TATU SASA MWANAMITINDO FLAVIANA MATATA
ANAEFANYIKA SHUGHULI ZAKE ZA UANAMITINDO NCHINI MAREKANI ATAUNGANA NA
WATANZANIA WOTE LEO HII KUSHIRIKI MISA YA KUWAREHEMU WALIOFIKWA NA MAUTI
KATIKA AJALI YA KUZAMA KWA MELI YA ,MV MUKOBA MIAKA 18 ILIYOPITA
FLAVIANA ANASHIRIKI KATIKA MISA IYO KATIKA MAKABURI YA WAPENDWA WETU
WALIOZIKWA IGOMA MWANZA AKIWA ANAMREHEMU MAMA YAKE MZAZI ALIOKUWA MOJA
KATI YA WALIFIKWA NA UMAUTI KATIKA AJALI HIYO
MBALI YA KUSHIRIKI KWENYE MISA MWAKA JUZI FLAVIANA ALITOA VIFAA VYA
KUJIOKOLEA KUPITIA MFUKO WAKE WA FLAVIANA MATATA FOUNDATION NA ANAHIMIZA
WATU NA SERIKALI KWA UJUMLA KUJALI USALAMA WA VYOMBO VYA MAJINI NA
USAFIRISHAJI KWA UJUMLA
FLAVIANA MATATA PAMOJA NA NDUGU JAMAA NA
MARAFIKI WAKIWA TAYARI KWA
SAFARI YA KWENDA IGOMA MWANZA ASUBUHI HII NA SHUKRAN FASTJET KWA
KUWEZESHA SAFARI HII
No comments:
Post a Comment