ANGALIA LIVE NEWS

Monday, May 5, 2014

SHEIKH ILUNGA KAPUNGU AFARIKI DUNIA

Sheikh Ilunga Hassan Kapungu enzi za uhai wake.

SHEIKH Ilunga Hassan Kapungu ameafariki dunia usiku wa kuamkia leo kwa ugonjwa wa kisukari jijini Dar es Salaam. Mazishi yake yatafanyika leo Jumatatu saa 10 jioni. Mwili wa marehemu utasaliwa katika msikiti wa Kichangani, Magomeni-Mapipa jijini Dar.

Taarifa hii imetolewa na: 
Sheikh Mohammed Kassim,
IPC Ubungo 
Dar es Salaam

5 comments:

Anonymous said...

INNA LILLAHI WAINA ILLAHIM RAJIUN ALLAH AKULAZE MAHALI PEMA PEPONI TUNAKUSHUKURU SANA KWA MCHANGO WAKO ULIYOTOA KWA KUTUFAHAMISHA HAKI ZETU SISI WAISLAMU KATIKA SERIKALI YETU NA JINSI HISTORIA ILIVYOKWA KWA WAISLAMU KATIKA NCHI YETU.

INNA LILLAHI WAINA ILLAHIM RAJIUN

MDAU NY

Anonymous said...

INNA LILLAHI WAINA ILLAHIM RAJIUN SIMBA WETU MTETEZI UMETUTOKA LAKINI DAIMA UTAKUWA MIYOYONI MWETU NA AKILI MWETU AHSANTE KWA KUTUFUNGUA MACHO JUU YA MFUMO KRISTO

Unknown said...

Innalillaahi Wa-innaailaihhi Raaji'uun. Umma umepoteza mtu muhimu sana kwani kila alipoongea, kauli yake iliacha mjadala mkali sana kuanzia mitaani, kwa viongozi wenzake wa dini, viongozi wa siasa na serikali na hata katika majopo ya wasomi. Mwenyezi Mungu aliyemchukuwa aturuzuku mbadala wake hivi karibuni.

Anonymous said...

Inna lillahi wa ina ilayhi raji'un Allah amlaze mahali pema peponi!

Anonymous said...

Innalillahi wazima illehi rajj in. Allah amuhifadhi peponi. Amenifungua macho Mimi huku uingereza na ndugu zangu mombasa