JAMHURI
YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA
YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA
Simu: 255 22 2460735/2460706
FAKSI: 255 22 2460735/2460700 S.L.P.
3056
Tovuti:
www.meteo.go.tz
Unapojibu tafadhali nakili:
Kumb. Na.:
TMA/1622 19
Mei, 2014
Taarifa kwa umma: Upepo
mkali pamoja na mawimbi makubwa vinatarajiwa katika maeneo yote ya ukanda wa pwani.
|
Taarifa Na.
|
201405-01
|
|
Muda wa
Kutolewa
Saa za Afrika Mashariki
|
Saa 10 Alasiri
|
|
Daraja la Taarifa:
|
Tahadhari
|
|
Kuanzia:
Tarehe
|
19 Mei, 2014
|
|
Mpaka:
Tarehe
|
21 Mei, 2014
|
|
Aina ya
Tukio Linalotarajiwa
|
Hali ya Upepo mkali unaozidi
kilomita 40 kwa saa pamoja na
mawimbi makubwa zaidi ya mita 2.0 inatarajiwa
katika ukanda wote wa pwani.
|
|
Kiwango cha uhakika:
|
Wastani (60%)
|
|
Maeneo
yatakayoathirika
|
Pwani ya mikoa ya Tanga,
Dar es Salaam, Pwani, Lindi, Mtwara
pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.
|
|
Maelezo:
|
Hali hii inatokana na kuimarika
kwa mgandamizo mkubwa wa hewa katika nchi kutoka kusini.
|
|
Angalizo:
|
Wakazi wa maeneo yaliyotajwa
(hatarishi) wanashauriwa kuchukua tahadhari.
|
|
Maelezo ya
Ziada
|
Mamlaka ya Hali ya Hewa inaendelea
kufuatilia hali hii na itatoa mrejeo pale itakapobidi.
|
Imetolewa na
Mamlaka ya Hali ya Hewa
Tanzania.

No comments:
Post a Comment