ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, June 17, 2014

KIJANA AMEKUTWA AMEKUFA KATIKA KITUO CHA MABASI YAENDAYO KASI JIJINI DAR ES SALAAM

Mwili w Marehemu ambaye jina lake bado halijafahamika
Wasamalia wema wakijaribu kuufunika mwili wa Marehemu
Kijana mmoja anayedaiwa kuwa ni mfanya biashara ndogondogo anamekutwa amefariki katika
kituo cha mabasi yaendayokasi cha Manzese Asubuhi  Jijini Dar es salaam.
Kwa mujibu wa mtendaji wa kata ya Mudini – Manzese Bw Penford Kizo na baadhi ya mashuhuda wamesema hawajui kifo hicho kimesababishwa na nini.
Aidha iliwachukua muda mrefu wakazi wa eneo hilo kubaini kwamba kijana huyo kafariki kwani vijana wengi wana kawaida ya kulala katika vituo hivyo vya mabasi.

No comments: