ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, June 17, 2014


1
Jana Jumapili ndani ya Club Bilicanas msanii wa R&B nchini alikuwa akizindua video yake mpya inayoitwa NITASUBIRI. Show ilikuwa kali sana na watu walijaa sana kama uionavyo picha ya juu hapo, Jux alipanda na kuanza kuimba nyimbo zake kadhaa kisha akaitambulisha video yake hiyo mpya. Soon niipatapo nitawawekea hapa wadau wangu na nyie muweze kuitizama
2
Ni wasanii wachanga wanaokuja vizuri kwa game kutoka kushoto ni
Piano pamoja na EM-Dee na wana MixTape yao inayoitwa BORA UENDE
3
Huyu kijaa aliyevaa kofia ni msanii anayekuja kwa kasi ya ajabu anaitwa HERI MUZIKI.. kuna siku mtanielewa tu ninachokimaanisha
4
Cyrill kwa steji
5
Young Dar es Salaam
6
Country Boy & Young Dee
7
MC wa show alikuwa ni B12 kutoka XXL ya Clouds FM
8
Mr Blue
9 10
Nyandu Tozi
11 12
Vanessa Mdee
13 14 15 16 17
Ikafika nafasi ya msanii JUX kupanda kwa steji na hakuniangusha kabisaa
Picha na DJCHOKa

No comments: