ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, June 17, 2014

OKOCHA AMLAUMU KESHI


Nahodha wa zamani wa Nigeria Jay Jay Okocha amemlaumu kocha Stephen Keshi kwa timu yake kushindwa kucheza vizuri katika mechi yao ya kwanza ya Kombe la Dunia kundi F dhidi ya Iran siku ya Jumatatu.
Timu hizo zilitoka sare ya bila kufungana.
"Huu ulikuwa mchezo ambao lazima tushinde. Hatukufanya vya kutosha, tulicheza chini ya kiwango," amesema Okocha.

No comments: