Vuguvugu la Sunni lenye msimamo mkali la ISIS ambalo limeteka maeneo ya Kaskazini mwa Iraq limesambaza picha ambazo zinaonyesha jinsi wapiganaji wake walivyoangamiza idadi kubwa ya wanajeshi wa Iraq.
Kwa
mujibu wa BBC, Picha zinazosambazwa kupitia internet zinaonyesha miili
ya watu iliyosongamana ndani ya mtaro ikiwa imepelekwa hapo kwa kutumia
malori.
Wapiganaji wa ISIS wanaonekana wakibeba bendera nyeusi ya huku wakichoma miili hiyo na kulazimisha mateka kulala chini.




No comments:
Post a Comment