ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, July 16, 2014

HELENA AKUTANA NA BIBI YAKE MAMA MARIA NYERERE


Helena Nyerere mtoto wa mbunge wa viti maalum Mhe. Leticia Nyerere anayeishi Maryland nchini Marekani akiwa katika picha ya pamoja na bibi yake Mama Maria Nyerere walipokutana siku za hivi karibuni wakati Helena Nyerere alipomtembelea nyumbani kwake Tanzania.

4 comments:

Anonymous said...

Kwani alikuwa hamjuwi? Au hii ndiyo mara ya kwanza wanakutana?

Anonymous said...

maryland kumbe kuna wajukuu na watoto wa wakubwa wengi ngoja nihamiye huko niwajuwe.nisalimiye bibi helena

Anonymous said...

Kwahiyo sasa tufanyeje.
kisa ni mjukuu wa nyerere
Embu msilete uswahili wenu hapa.

Anonymous said...

uswahili ni ustaarabu wa hali ya juu na aliye kila mswahili amebeba ustaarabu huo.asiye mswahili hana ustaarabu hata akiwa msomi