Advertisements

Friday, July 25, 2014

Jumuiya ya Waislam waJumba nambari 8 ngazi ya nne Michenzani Zanzibar wakamilisha kuftarisha Ramadhani 27

Ikiwa kama ada endelevu kila ifikapo mwezi 27 wa mfungo mtukufu wa ramadhani Siku ya Ijumaa July 25, 2014 Jumuiya ya Waislam waJumba namba 8 ngazi ya nne, maarufu kma ngazi ya (Warusi) Michenzani Zanzibar waliweza kuftari waislamu wa maeneo mbali mbali wa karibu na wakiwemo wakaazi wa Mwembetanga, vikokotoni, pamoja na waMichezani.
Waumini wa kiislamu wakipata iftar iliyoandaliwa na wakaazi wa jumba nambari 8 ngazi ya nne Michenzani Zanzibar
Pichani: Maalim Abuu, sheikh Ali wakipata futari ya pamoja Siku ya Ijumaa July 25, 2014
Ndugu jamaa na marafiki wakipata iftar ya pamoja iliyoandaliwa na Jumuiya ya waIslam waJumba namba 8 ngazi ya nne, maarufu kma ngazi ya (Warusi) Michenzani Zanzibar
Matunda ya shokishoki yaliowekwa kwaajili ya kushushi futari ya mwenzi 27 Jumuiya ya waIslam waJumba namba 8 ngazi ya nne, maarufu kma ngazi ya (Warusi) Michenzani Zanzibar
Chichili wa Mwembetanga (wakwanza kulia) akishushia na chai ya moto ilioandaliwa na  Jumuiya ya Waislam waJumba namba 8 ngazi ya nne, maarufu kma ngazi ya (Warusi) Michenzani Zanzibar
Haji Mtuwa a.k.a hajibwa mtu akipata flashi ya katika futai ya wanajumuiya wa Jumba namba 8 ngazi ya nne, maarufu kma ngazi ya (Warusi) Michenzani Zanzibar

No comments: