ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, July 1, 2014

KIKUNDI CHA WANAFUNZI WALIOSOMA MWAKALELI CHA WHATSAPP CHATOA MSAADA KWA WATOTO WALIO KATIKA MAZINGIRA MAGUMU






 Wanafunzi wa zamani waliosoma Mwakaleli ambao wapo 36 waliopo katika kundi (Group) katika mtandao wa Whatsapp hivi karibuni waliungana pamoja na kwenda kutoa msaada kwa watoto 94 waishio katika mazingira magumu waishio Mbeni Mpiji. 

Katika Ziara hiyo walitoa vitu mbalimbali ambavyo vitaweza kuwasaidia katika mambo mbalimbali.

Wakiongea kwa nyakati tofauti vijana hao wameomba watu kuwa na moyo wa kuwasaidia watu hasa walio katika mazingira magumu.

No comments: