ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, July 15, 2014

LE MUTUZ NA MUALIKO WA FUTARI

Jamani leo nimealikwa Futari kwa My Super Friend Bilionea Davis Mosha now look this is how Futari of the Super Rich looks like ndio maana napigana na mimi niwe one nimejipangia in the next Two years kama alivyosema 50Cents Get Rich or Die trying we should all fight to get rich tuwachane na majungu majungu people! - Le Mutuz

12 comments:

Anonymous said...

uroho tu ndo umekuzidi but you cant get rich buddy you have to be rich in you brain.
na uizime hii comment dj luke na team yote ya vijimambo.
mnafagilia huyu mtu kwa nini?

Anonymous said...

kufunga na uislamu mtamu wewe ona sasa watu wanakuja wenyewe

Anonymous said...

Cholesterol tupu hiyo, maskini anayekula muhogo, maharage na kisamvu, anakula healthy

Anonymous said...

Hahahaaaaa!! Omg! The third comment is si hilarious. Mbavu zangu mie.

Anonymous said...

cholestrol ipo huko kwenye majuu na mavyakula vyenu vya chemical huku hata ukila vya kuangakaanga na kutia nazi shata shata hata mwaka upo poa na fiti kiafya na hakuna cholestrol huku.njoeni mjiliye bila wasi wasi mnaviona anavyo vimega le mutuuz kwa raha zake vinamteleza kooni mpaka tumboni with no stress.

le mutuuz jiliye jiliye kwa raha zako no cholestrol in bongo land

Anonymous said...

mbona chapati zina sura mbaya,mpishi kachemsha saumu kali nini

Anonymous said...

Duh, kazi kwelikweli. Huyu mtu mzima hakuwi?

Anonymous said...

Chapati mbaya, hazina mvoto. Futari iko dry sana. Baada ya kufunga inapendeza kula urojo rojo viazi vitamu viungwe nazi, mihogo, maharagwe na uji mwembambaa wa pili pili manga. Mambo ya Chaps (Chapati) yanapendeza kwa daku zaidi.
Ukila vikavu vikavu sana tumbo linauma digestion inakuwa ngumu.
Enzi ninaanza kufunga wakati wakufungua unaanza na kikombe cha uji (unakimaliza) unapumzika halafu unakula tende. baada ya sala ya maghribi ndio futari sana - we bwana wee .. ukianza na futari full swing tumbo linaumaa hata daku inakushinda.

Anonymous said...

Le mutuz mtamsikia nae kashikwa na unga,unapenda utajiri bila mipango.tamaa mbaya

Anonymous said...

le mutuza kisha kuwa muislamu si baba yake alikuwa kwa kipindi kifupi yeye kaamu kuwa full time anafunga funga saumu huko bongo siku hizi.

Anonymous said...

akifanya biashara ya unga hawezi kukamatwa si watoto wa wakubwa hawakamatwagi wakaishia segerea ila ni watoto wa maskini ndo wanakula kamba na kufaaa kwisha kaziiiiiiiiiiiiiiii

Anonymous said...

This is why many Tanzanians just drop and die because of the wrong perception they have regarding cholesterol. Lobster has a lot of cholesterol whether you eat in Tanzania or in USA. Another point is very few people get their health checked regularly in Tanzania, so how would you know if you have cholesterol?