ANGALIA LIVE NEWS

Friday, July 25, 2014

MTOTO MARY APATIKANA AKIWA HAI ALIIBWA CHANGANYIKENI KAPATIKANA TANDALE

Mungu mkubwa jamani tumshukuru maana mtoto Merry amepatikana na huyo kulia naskia ndo aliyemuiba.
Wapenzi kwa uwezo wa Mungu mtoto Maryline amepatikana. Aliibwa Changanyikeni kapatikanaTandale. Huyo pembeni mwenye blue ndio mwizi mwenyewe alikuwa houseboy wao zamani. Kwa nini alimuiba? Je yupo salama na afya njema? wazazi hawajapatikana bado kuongea simu zimezima. Habari zaidi zitawaijia tutakapo zipata.
TheChoice

No comments: