ANGALIA LIVE NEWS

Thursday, July 10, 2014

NAKANUSHA TUHUMA ZA KAMPENI YA JUMUIYA YA DMV

mimi loveness mamuya 
sijamfanyia  wala sinto mfanyia mgombea yoyote kampeni .Nieleweke kwa ndugu zangu wana jumuiya
wa DMV.Naomba wana jumuiya wenzangu mjitokeze kwa wingi kujiandikisha na kupiga kura.
tukumbuke kuwa jumuiya yetu itajengwa na wanajumuiya wote na ni  jukumu la kila mmoja wetu kutambuwa hilo .Naomba watanzania wa DMV tuweke pembeni vyama vya siasa .dini, na makundi yote 
tusimame kwa pamoja na tuwe kitu kimoja  kama mtanzania .TANZANIA KWANZA .Jivunie kuwa  Mtanzania ,Tuipende Tanzania ,bila  kusahau tuintangaze  Tanzania .Tanzania oyeee