
Wachezaji wa timu ya Argentina wametoa msaada wa fedha paundi 80,000 kusaidia Hospitali ya Buenos Aires sehemu ya fedha waliyolipwa kutoka kama zawadi ya wao kuwa washindi wa pili wa kombe la Dunia mashindano yaliyofanyika nchini Brazil. Jumal ya fedha walizolipwa kama washindi wa pili ni paundi milioni 14.6.
No comments:
Post a Comment