ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, July 16, 2014

UKIIPENDA KAZI YAKO BASI UTAFANYA KILA LIWEZEKANALO KUILINDA

Ni Flaviana Matata mlimbwende anaeifanya vyema kazi yake ya urembo na kuitangaza nchi yake ya Tanzania kupitia kazi yake hiyo. Hii ni siri ya urembo ya yeye kuwa juu na kufanya kazi yake ya urembo kung'ara siku zote.
Hapa akiwa na swagger za moja ya kazi yake, Jitiririshe chini na utagundua siri ya urembo ya mlimbwende huyu .
I try to work out atleast 5days a week. #sheisbackNajaribu kufanya mazoezi angalau siku tano kwa wiki

No comments: