Advertisements

Wednesday, August 13, 2014

DIAMOND AKIWACHEZESHA AUNT EZEKIEL NA WEMA MDOGOMDOGO NDANI YA FIESTA MWANZA

Mara nyingi Wema amekuwa akimsupport mchumba wake kwa kupanda naye jukwaani na hivyo kusababisha shangwe kubwa.
ushabiki wa Wema kwa Diamond kidogo umepitiliza na hata kama umekuwa ukishangiliwa, tunahisi anajishusha kiaina. 

5 comments:

Anonymous said...

Wema nakupenda sanaaa ila unapofanya mambo kama hay a huwa unajishushia hadhi pls hayo mambo waachie akina aunt Ezekiel, we ukipanda jukwaani chez a turn kawaida c hivyoo mean a.

Anonymous said...

Dogo inability tukununulie hats box a Kiwanis unavailable kata K ...wenzio waking lil Wayne wanakuwa na box a ndani....Ina wee tako nje

Anonymous said...

Wema stop it okey. Its too much mwenzio ajielewi uyo bado step down and just watch him. What you did is enough momy. we love you.

Anonymous said...

wewe hapo juu unaongea nini? hiyo ni moja ya kazi, we vipi?

Anonymous said...

zikiandikwa comment kuhusu wema wala huwekagi,umepewa promo ya kumpromoto huku marekani nini?