Picha ni Basi la Luhanga lilivyoungua moto huko Kibondo, Kigoma JUNE 2013 PICHA NA MAKTABA picha hii sio basi lililotupiwa bomu.
AKithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Polisi Wilaya ya Buhigwe (OCD), Samwel Utonga alisema basi hilo lilikuwa likotokea Kilelema kwenda Kasulu Mjini ambapo watu hao walilirushia kitu kinachoaminika kuwa ni bomu.
Taarifa kutoka Hospitali ya Muyama zinazema majeruhi hao wamehamishwa toka hospitalini hapo na kupelekwa Hospitali ya Kasulu baada ya hali zao kuwa mbaya.
Mwananchi
No comments:
Post a Comment