
na hiki ndicho alichokisema mwanadada zamaradi kuhusiana na zawadi hiyo BIRTHDAY YA MWAKA!!!!!!!!! Hizi ndio zawadi kubwa alizopata WEMA leo.... NISSAN MURRANO na BMW moja kali hatari NYEUPE!!!! Asante mmanyema mwenzangu @diamondplatnumz umefunga watu midomo kudaadeki!!!! Hiyo nyeusi hapo ndio zawadi aliyotoa Diamond kwenda kwa @wemasepetu na zaidi alieleta Kukabidhi ni MAMA DIAMOND!!! how sweeeeeet..... haya sijui jipya lipi tena hapa la kuongea!!!
Utaniazimaga kamoja wema niwe nacruise nipumzishe kidogo kibenzi changu.. lol #kidding HAPPY BIRTHDAY MY DARLING!!!!!!! Unastahili kila kitu!!!repost

WEMA akimlisha keki mama mkwe wake katika eneo la tukio
5 comments:
Who cares, Kikwete alisema yahuko tuwachie wenyewe kwani wametosha.Tuletee issue ya Diaspora kupewa hadhi (status) maalum, hii inamaana gani?
Anon You are absolutely right!
Wanajaza foleni za magari bongo tu, mama gari yeye magari,gf magari..wtf, sericali wanahitaji kuweka sheria bongo 1 car per house maximum.
Nanyinyi bwana ! Hiki ni Chimbo cha habari kila kitu kinawekwa, soma unachokipenda,vingine waachie wengine.. Haujalazimisha kusoma kila kitu ,, mnaleta ubwege hapa
Jamani stop being haters n jelous hamna mtu aliyelazimishwa kuwafatilia.....other pipo ar fans and we do gv o fuc....badala ya kupoteza mda unawasema vibaya watu ambao hata huwakufahamu go n make ur own money so pipo cn giv a fuc abt what u ar sayin other wise unapiga kelele...n u wil keep on hatin wakat watu wanakula lyf
Post a Comment