ANGALIA LIVE NEWS
Friday, September 19, 2014
Martin Kadinda Hivi Kweli Meneja Ndo Anatakiwa Awe Hivi Kwa Mteja Wake? Jisomee Alichoandika
Katika pitapita zangu instagram nikakutana na post aliyoiweka Martin Kadinda kuhusu mteja wake mpya Elizabeth michael aka Lulu.
Nilishangazwa sababu maneno haya hayakutakiwa kuwekwa na manager wake,labda kama ana mmanage kwenye biashara ya Ngono..
Picha hiyohapo niliyo screenshoot.
1 comment:
Anonymous said...
Martin mtoto.
September 19, 2014 at 10:35 PM
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comment:
Martin mtoto.
Post a Comment