Advertisements

Sunday, September 7, 2014

MSANII MWENYE UMBO LA KIPEKEE AFUNIKA KWENYE UZINDUZI WA MATEI LOUNG & CAR WASH DODOMA

Mwanadada mwenye Umbo la kipekee Efrancyah Mangi jana kwenye Uzinduzi wa Matei Lounge & Car Wash aliweza kuamsha popo. Na kufanya mashabiki walipuke kwa shangwe ya kufa mtu pale kwenye show ya ufunguzi aliyoanzisha Mkali wa R&B one Six na kumalizia Ya Moto band.
CHEZEA EFRANCYAH MANGI WEWE

No comments: