Advertisements

Friday, September 12, 2014

NGUMI KUPIGWA LEO MOSHI KATIKA UKUMBI WA Y.M.C.A HALL

Bondia Elick Mwenda   wa Malawi kushoto akitunishiana misuli na Alibaba Ramadhani baada ya kupima uzito leo kwa ajili ya mpambano wao wa ubingwa wa U.B.O Africa mpambano utakaofanyika ijumaa katika ukumbi wa YMCA Hall 
Mabondia Raymond Mbwago kushoto Shomari Mirundi na Iddi Pialala wakisubili kupima uzitoi kwa ajili ya mpambano huo  ijumaa
Bondia Shomari Mirundi akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake
Promota wa ngumi Georeg Endru katikati akiwanyoosha mikono juu mabondia Elick Mwenda   wa Malawi kulia na Alibaba Ramadhani baada ya kupima uzito leo kwa ajili ya mpambano wao wa ubingwa wa U.B.O Africa mpambano utakaofanyika kesho ijumaa katika ukumbi wa YMCA Hall 
Promota wa ngumi Georeg Endru katikatiakiwainua mikono juu bondia Said Yazidu wa Tanzania na Dijamel Dahou wa Aligeria baada ya kupima uzito leo kwa ajili ya mpambano wao wa ubingwa wa Dunia wa UBO
bondia Said Yazidu akitambiana na Dijamel Dahou wa Aligeria baada ya kupima uzito leo kwa ajili ya mpambano wao wa ubingwa wa Dunia wa UBO
Picha na SUPER D BLOG

No comments: