Advertisements

Monday, September 15, 2014

WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI AZINDUA RASMI TOVUTI YA JESHI LA MAGEREZA LEO JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe akiwasili Makao Makuu ya Jeshi la Magereza tayari kwa uzinduzi rasmi wa TOVUTI ya Jeshi la Magereza(wa kwanza kushoto) ni Kamishna Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja akisalimiana na Mhe. Waziri(wa pili kulia) ni Kamishna wa Huduma za Urekebishaji, Deonice Chamulesile(kushoto) ni Kamishna wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza, Dkt. Juma Malewa.
Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini, John Casmir Minja(aliyesimama) akitoa maelezo mafupi kabla ya uzinduzi rasmi wa TOVUTI ya Jeshi la Magereza leo Septemba 15, 2014 katika Viwanja vya Ofisi ya Makao Makuu ya Jeshi la Magereza.
Muonekano wa Mwanzo wa TOVUTI ya Jeshi la Magereza inayopatikana kupitia annuani ya www.magereza.go.tz(Picha zote na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe akikata utepe kabla ya kuzindua rasmi TOVUTI ya Jeshi la Magereza inayopatikana kupitia annuani ya www.magereza.go.tz(wa pili kulia) ni Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, John Casmir Minja.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe akikata utepe kabla ya kuzindua rasmi TOVUTI ya Jeshi la Magereza inayopatikana kupitia annuani ya www.magereza.go.tz(wa pili kulia) ni Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, John Casmir Minja.

No comments: