ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, October 11, 2014

LEO NI KISOMO CHA MAMA YAKE HAMIDA.



Familia ya Bi Hamida Majili, inapenda kuwakaribisha kwenye shughuli ya kisomo 

(Hitima) cha marehemu Zubeda Majili ambaye ni mamake mzazi, Bi Hamida 

Majili. Marehemu alifariki tarehe 31.08.2014 na kuzikwa huko nyumbani kwao 

Handeni, Mkoa wa Tanga.

Shughuli hii ya Kisomo, itafanyika Leo  siku ya Ijumamosi tarehe 11.10.2014 kuanzia 

saa 10.00 jioni hadi saa 2.00 usiku. 
Anwani 
14212 Long Green Drive
Silver Spring, MD 20906

Kama ilivyo ada, tunawaomba Watanzania na wanajumuia wote wa hapa DMV 

tujumuike kwa pamoja katika kumuombea marehemu kwa mwenyezimungu na 

kuwaombea wote waliokwishatangulia mbele ya haki. 

Kwa taarifa zaidi, wasiliana na wafuatao hapa chini:

1. Hamida Majili- 301-221-6630

2. Fatima Melbourne-202-329-7320

3. Hassan Mweyungu-718-810-3397

4. Mayor Mlima- 301-806-8467

5. Hilder Kivembele-301-467-5290

6. Lilian Mabundo-301-213-7329

 WOTE MNAKARIBISHWA!

No comments: