Familia ya Bi Hamida Majili, inapenda kuwakaribisha kwenye shughuli ya kisomo
(Hitima) cha marehemu Zubeda Majili ambaye ni mamake mzazi, Bi Hamida
Majili. Marehemu alifariki tarehe 31.08.2014 na kuzikwa huko nyumbani kwao
Handeni, Mkoa wa Tanga.
Shughuli hii ya Kisomo, itafanyika Leo siku ya Ijumamosi tarehe 11.10.2014 kuanzia
saa 10.00 jioni hadi saa 2.00 usiku.
Anwani
14212 Long Green Drive
Silver Spring, MD 20906
Anwani
14212 Long Green Drive
Silver Spring, MD 20906
Kama ilivyo ada, tunawaomba Watanzania na wanajumuia wote wa hapa DMV
tujumuike kwa pamoja katika kumuombea marehemu kwa mwenyezimungu na
kuwaombea wote waliokwishatangulia mbele ya haki.
Kwa taarifa zaidi, wasiliana na wafuatao hapa chini:
1. Hamida Majili- 301-221-6630
2. Fatima Melbourne-202-329-7320
3. Hassan Mweyungu-718-810-3397
4. Mayor Mlima- 301-806-8467
5. Hilder Kivembele-301-467-5290
6. Lilian Mabundo-301-213-7329
WOTE MNAKARIBISHWA!
No comments:
Post a Comment