Advertisements

Tuesday, October 14, 2014

LINEX: NISINGEKUWA MWANAMUZIKI NINGEKUWA ASKARI

MWANAMUZIKI mahiri wa muziki w Bongo Fleva nchini, Sande Mangu ‘Linex’ au ‘Voa’ amesema kabila lake linamsababisha kupata ‘tone’ ambayo mtu mwingine hana na kuna baadhi ya wasanii ambao wanatamani wawe wanajua lugha za kwao.

No comments: